Ijumaa 26 Juni 2026 - 06:20
Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) Ashiriki Zoezi la Usafi Kumuenzi Imam Hussein (as) Jijini Dar es Salaam + Picha

Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemed Jalala, jana tareh 25 June 2026, ameshiriki katika zoezi la usafi wa mazingira lililofanyika katika maeneo ya Kigogo, jijini Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya shughuli za kuhuisha kumbukumbu ya Imam Hussein (as) katika mwezi mtukufu wa Muharram.

Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Hawza, zoezi hilo la usafi lilifanyika kuanzia eneo la Njia Panda hadi Kigogo Mwisho, ambapo waumini na wananchi mbalimbali walijumuika kusafisha mazingira huku wakionesha mshikamano na kuenzi misingi ya huduma kwa jamii inayofundishwa na Ahlul-Bayt (as).

Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) Ashiriki Zoezi la Usafi Kumuenzi Imam Hussein (as) Jijini Dar es Salaam + Picha Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) Ashiriki Zoezi la Usafi Kumuenzi Imam Hussein (as) Jijini Dar es Salaam + Picha
Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) Ashiriki Zoezi la Usafi Kumuenzi Imam Hussein (as) Jijini Dar es Salaam + Picha Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) Ashiriki Zoezi la Usafi Kumuenzi Imam Hussein (as) Jijini Dar es Salaam + Picha
Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) Ashiriki Zoezi la Usafi Kumuenzi Imam Hussein (as) Jijini Dar es Salaam + Picha Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) Ashiriki Zoezi la Usafi Kumuenzi Imam Hussein (as) Jijini Dar es Salaam + Picha

Lebo

Maoni yako

You are replying to: .
captcha